Monday 5 August 2013

UPIMAJI WA KISUKARI KWA WANAKIKUNDI

Kutokana na mfumo wa maisha tunayoishi kwa sasa wanadamu, magonjwa yamezidi hasa kisukari.  Kikundi cha Bahati kimeona ni vyema kwa sana kwa wanakikundi kuanza kupima kipimo cha sukari.  Na imeshauriwa kila mwanakikundi alete watu wasiopungua 10 ili wapate huduma ya vipimo.

No comments:

Post a Comment