Viongozi hawa wamechaguliwa kwa mara ya pili baada ya kugawana Groups mbili. Sababu ya kufanya uchaguzi tena ni kuwa wanachama walifika 46 hivyo ilibidi wanachama watengwe katika vikundi viwili, hivyo kikundi cha JUHUDI kiliundwa tena na wanachama wa mwanzo kumi na saba (17) ambapo kikundi cha BAHATI kilipunguzwa wanachama sita (6) na kupewa JUHUDI, na kuzaliwa kikundi cha pili ambacho ni BAHATI hivyo wanachama 23 kila upande waliunda vikundi. Na hawa ni viongozi wa BAHATI Group;
MWENYEKITI
Bi. Magret Katundu
KATIBU
Bi. Alice Magesa
MWEKA HAZINA
Bi. Edna G. Robert
WASHIKA FUNGUO
Bi. Magdalena Shirima
Bi. Beatrice Kilimo
Bi. Fatuma Mtengula
WAHESABU FEDHA
Bi. Imakulata Onyango
Bi. Anitha Bana
WATUNZA NIDHAMU
Bi. Salome Chimbyangu
Bi. Donata Kindole
No comments:
Post a Comment