Sunday 11 August 2013

VIONGOZI WA HABATI GROUP

Viongozi hawa wamechaguliwa kwa mara ya pili baada ya kugawana Groups mbili.  Sababu ya kufanya uchaguzi tena ni kuwa wanachama walifika 46 hivyo ilibidi wanachama watengwe katika vikundi viwili, hivyo kikundi cha JUHUDI kiliundwa tena na wanachama wa mwanzo kumi na saba (17) ambapo kikundi cha BAHATI kilipunguzwa wanachama sita (6) na kupewa JUHUDI, na kuzaliwa kikundi cha pili ambacho ni BAHATI hivyo wanachama 23 kila upande waliunda vikundi.  Na hawa ni viongozi wa BAHATI Group;

MWENYEKITI
Bi. Magret Katundu

KATIBU
Bi. Alice Magesa

MWEKA HAZINA
Bi. Edna G. Robert

WASHIKA FUNGUO
Bi. Magdalena Shirima
Bi. Beatrice Kilimo
Bi. Fatuma Mtengula

WAHESABU FEDHA
Bi. Imakulata Onyango
Bi. Anitha Bana

WATUNZA NIDHAMU
Bi. Salome Chimbyangu
Bi. Donata Kindole

No comments:

Post a Comment