Elimu ya Ujasiriamali ni Lazima kwa VICOBA
Imebainishwa kuwa vikundi vingi vya vicoba nchini licha ya kukabiliwa na changamoto ya mtaji vinahitaji elimu ya ujasiriamali ili Kuweza kufahamu jinsi ya kufanya biashara kwa faida badala ya kufanya biashara kwa mazoea jambo linalofanya vikundi vingi Kufilisika na kushindwa kuendelea.
No comments:
Post a Comment